Search This Blog

Monday, April 23, 2012

LULU MAHAKAMANI LEO

                                    Elizabeth Michael 'Lulu' akiwa chini ya ulinzi mkali.
                                                      Lulu akiwa kawekwa mtu kati.…

                                                     ...Akitolewa mahakamani.
                                      Baba mzazi wa Lulu nae alikuwepo mahakamani hapo

Baba mzazi wa Lulu nae alikuwepo mahakamani hapo.
Mwigizaji Maarufu wa filamu za Kibongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo majira ya saa nne asubuhi amepandishwa kizimbani kwa mara ya pili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa shitaka la kumuua Steven Kanumba. Baada ya kusomewa shitaka hilo na Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama hiyo Elizabeth Kaganda mbele ya Hakimu Rita Tarimo hakutakiwa kujibu lolote. Mwendesha Mashitaka huyo alisema upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamailika hivyo kesi hiyo iliahirishwa mpaka Mei 7 mwaka huu.
PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS/GPL

R.I.P MY ROLE MODEL

Ilikuwa kama naota niliposhtuka arfajili na kukuta kwenye simu yangu text yenye taarifa za kifo cha The Great kwamba amefariki dunia. usingizi uliacha kabisa na kuanza kufukilia ni jinsi gani ambavyo nitakuwa maana ndiye aliyekuwa mtu pekee niliyekuwa nikimuangalia katika tasnia hii ya maigizo... Tulikupenda ila Mungu amekupenda zaidi kaka.... REST IN PEACE BROTHER STEVEN CHARLES KANUMBA......  

Wednesday, April 4, 2012

Sunday, April 1, 2012

MA BEST FRIEND (YOUNG ENTREPRENEUR) PIA NI CEO WA LET GOD BE YOU FOUNDATION

                                                                                    BAADHI YA MIRADI ANAYOFANYANI PAMOJA NA COUNTER                              
                                            BOOK HIZO ALIZOSHIKA KWA AJILI YA MAENDELEO YA
                                            FOUNDATION YAKE BINAFSI INAYOITWA LGBY

                                             MR. DAVID EDWARD MWANDELE

                                        MUDA WOTE HUWA BIZE SANA KWA AJILI YA KUJIFUNZA







                                                           PRODUCT ZAKE PIA
                                 MSAADA MKUBWA KWA WANAFUNZI HAWA AMBAO HAWANA UWEZO NA HUYU JAMAA PAMOJA NATIMU YA FOUNDATION YAKE KWA UJUMLA

                                       CONGLATURATION BROTHER AND GOD BE WITH YOU

TANGAZO HILI SITAACHA KULIKUMBUKA MAANA LINANIHUSU PIA.

Millen Magese during MMG Model search (www.missiepopular.blogspot.com)

                                                   Hii ilikuwa ni siku ya jumapili ambapo watu wengi walijitokeza katika  kujaribu bahati yao ya uanamitindo pale SERENA HOTEL ambapo Millen Magese alikuwa akitafuta damu changa kwa ajili ya kuelekea south africa kwenye maonyesho ya mavazi... ila waliotakiwa walikuwa wawili ila hata yeye alishangazwa na muitikio wa watu kuwa mkubwa sana hadi kufikia takribani watu mia sita..... NAAMINI MUNGU ALIMUONGOZA KUPATA VIJANA WALIO BORA NA SAHIHI KATIKA KUTUWAKILISHA... GOD BLESS YOU HAPPINESS MAGESE                                                     

Wiz Khalifa bet 2011 hapo...

Professor Jay ft Marco Chali - Kamili Gado ( Official Video HD)