Hii ni blog ambayo itakuonesha watu mbalimbali na wapya ambao ni watafutaji katika nyanja mbalimbali kwa hapa tanzania mfano burudani,siasa,michezo,sanaa,mitindo,ujasiliamali,ubunifu n.k
Jackson na Jermaine. Vijana ambao wanashughulika na uandaaji wa kipindi cha shuleni kwetu ambacho kinarushwa tv tumaini kila siku ya jumatano saa tatu usiku.